Posts

Showing posts from February, 2020
Image
    CHUO KIKUU CHA MOI:  URITHI WA KUMKUMBUKA RAIS MOI. Chuo kikuu cha Moi kilianzishwa mnamo mwaka wa 1984 kutokana na pendekezo la jopokazi lililoteuliwa na Mstaafu Rais Daniel arap Moi na kuongozwa na Dkt. Mackay, msomi kutoka Nchini Canada. Jopokazi hili liliandika waraka wa pendekezo kuhusu haja ya kuwa na Chuo kikuu cha pili Nchini Kenya. Ilikuwa sehemu ya ndoto ya Rais Mstaafu Moi kuwa na taasisi za elimu ya juu zikihamishwa kutoka maeneo ya mjini na ndio maana akaanzisha chuo kikuu cha Moi katika eneo la Kesses ambalo lipo kilomita 35 kutoka mji wa Eldoret. "Taasisi hii mpya inapaswa kuanzishwa katika sehemu ya nchi mbali na mji mkuu ", inasoma ripoti ya Mackay ambayo iliweka msingi wa kuanzishwa kwake.Rais Daniel arap Moi alichangia pakubwa kwa kuimarisha Chuo Kikuu cha Moi kwa kutoa shamba hekari 3000 kwa ajili shughuli zake,kujengwa kwa Shule ya Sayansi ya Habari na hata maktaba ya kisasa ya Margaret Thatcher.    Shule ya Sayansi ya Habari. Ku...
Image
BUILDING MOI UNIVERSITY SEVENTH-DAY CHURCH. Of all churches in Moi, it is only the SDA church that shares their pulpit with the devil through Discothe’ques (famously “Kadunda”) held in the same venue.  It is a shocking story.  Only in private conversations can the deacons and deaconesses share with you the ill that they witness while cleaning up on Sabbath in preparation for the Sabbath services.  Surprisingly, this is the story that is about to be changed this 2020. “Nobody would set his / her eye twice on what we find in LT3 every Saturday morning during the cleaning before the services.  It is down-hearting and shameful”, says Paulina one of the deaconesses. The cradle of the dream started way back in 2009 according to my sources students then wanted to move out from LT3 and it has been so ever since.  “We cannot shame the same pulpit with the Devil anymore”, said Loyce Ngeta, a forth year MUSDA member taking media science. On 8th December which w...
                  PEACE BE STILL. Peace is the existence of understanding characterized with good life.  Peace is not a mere existence of calmness and serenity; it is not a mere lack of war or open hatred amidst a people, it is a function of the love within portrayed in the life without. Even though the election campaigns in the university of Moi University are at the peak, there should be no signs of tension nor fearing behavioural.  Normal activities with total calmness are expected to go on.  As the aspiring candidates for different posts keep their fire burning they should be sensitive about other students inner peace and harmony.  As a nation, we have been through moments none would yearn to re-live for instance; more often we were relieved by the input of our good neighbours.  But for how long shall they be there to worry of the woes in their sister’s house?  Where will we land ourselves once they stop ...
Image
BWAWA LA KESSES, TEGEMEO LA WENGI. Kwa miaka michache iliyopita kituo cha Kesses kimezidi kuwa kwa idadi ya watu,kutangamana kati yao kibiashara na hata kiteknolojia. Hii imepelekea uchumi kunawiri na hivyo basi kuboresha maisha ya wakaaji wa Kesses na hata majirani. Licha ya kuwa na haya maendeleo yote,ni jambo la kuvutia kwamba bwawa la Kesses ambalo lipo umbali wa kilomita saba kutoka kwa kituo hiki ndilo chanzo cha ukuaji wa vitu vyote hivi. Ni wazi kwamba yapo mengi ambayo wakaaji na hata wasiowakaaji wa Kesses wamepata na wanazidi kujinufaisha kwalo. Hata hivyo,bwawa hilo Lina nuksi zake hapa na kule huenda hazina mashiko sana kwa wanaonufaika. Kwa makala haya tutaangazia jinsi ambavyo bwawa hili lilianzishwa na kwa sababu zipi ama historia yake na kisha manufaa na madhara yake kwa wakaaji iwapo yapo,jina langu ni Lydia Omaya. Wanafunzi wa chuo kikuu cha Moi wakiendeshwa kwa mashua katika bwawa la Kesses. Bwawa la Kesses lilianzishwa mwaka wa elfu moja mia tisa arubaini n...