Posts

Image
    CHUO KIKUU CHA MOI:  URITHI WA KUMKUMBUKA RAIS MOI. Chuo kikuu cha Moi kilianzishwa mnamo mwaka wa 1984 kutokana na pendekezo la jopokazi lililoteuliwa na Mstaafu Rais Daniel arap Moi na kuongozwa na Dkt. Mackay, msomi kutoka Nchini Canada. Jopokazi hili liliandika waraka wa pendekezo kuhusu haja ya kuwa na Chuo kikuu cha pili Nchini Kenya. Ilikuwa sehemu ya ndoto ya Rais Mstaafu Moi kuwa na taasisi za elimu ya juu zikihamishwa kutoka maeneo ya mjini na ndio maana akaanzisha chuo kikuu cha Moi katika eneo la Kesses ambalo lipo kilomita 35 kutoka mji wa Eldoret. "Taasisi hii mpya inapaswa kuanzishwa katika sehemu ya nchi mbali na mji mkuu ", inasoma ripoti ya Mackay ambayo iliweka msingi wa kuanzishwa kwake.Rais Daniel arap Moi alichangia pakubwa kwa kuimarisha Chuo Kikuu cha Moi kwa kutoa shamba hekari 3000 kwa ajili shughuli zake,kujengwa kwa Shule ya Sayansi ya Habari na hata maktaba ya kisasa ya Margaret Thatcher.    Shule ya Sayansi ya Habari. Ku...
Image
BUILDING MOI UNIVERSITY SEVENTH-DAY CHURCH. Of all churches in Moi, it is only the SDA church that shares their pulpit with the devil through Discothe’ques (famously “Kadunda”) held in the same venue.  It is a shocking story.  Only in private conversations can the deacons and deaconesses share with you the ill that they witness while cleaning up on Sabbath in preparation for the Sabbath services.  Surprisingly, this is the story that is about to be changed this 2020. “Nobody would set his / her eye twice on what we find in LT3 every Saturday morning during the cleaning before the services.  It is down-hearting and shameful”, says Paulina one of the deaconesses. The cradle of the dream started way back in 2009 according to my sources students then wanted to move out from LT3 and it has been so ever since.  “We cannot shame the same pulpit with the Devil anymore”, said Loyce Ngeta, a forth year MUSDA member taking media science. On 8th December which w...
                  PEACE BE STILL. Peace is the existence of understanding characterized with good life.  Peace is not a mere existence of calmness and serenity; it is not a mere lack of war or open hatred amidst a people, it is a function of the love within portrayed in the life without. Even though the election campaigns in the university of Moi University are at the peak, there should be no signs of tension nor fearing behavioural.  Normal activities with total calmness are expected to go on.  As the aspiring candidates for different posts keep their fire burning they should be sensitive about other students inner peace and harmony.  As a nation, we have been through moments none would yearn to re-live for instance; more often we were relieved by the input of our good neighbours.  But for how long shall they be there to worry of the woes in their sister’s house?  Where will we land ourselves once they stop ...
Image
BWAWA LA KESSES, TEGEMEO LA WENGI. Kwa miaka michache iliyopita kituo cha Kesses kimezidi kuwa kwa idadi ya watu,kutangamana kati yao kibiashara na hata kiteknolojia. Hii imepelekea uchumi kunawiri na hivyo basi kuboresha maisha ya wakaaji wa Kesses na hata majirani. Licha ya kuwa na haya maendeleo yote,ni jambo la kuvutia kwamba bwawa la Kesses ambalo lipo umbali wa kilomita saba kutoka kwa kituo hiki ndilo chanzo cha ukuaji wa vitu vyote hivi. Ni wazi kwamba yapo mengi ambayo wakaaji na hata wasiowakaaji wa Kesses wamepata na wanazidi kujinufaisha kwalo. Hata hivyo,bwawa hilo Lina nuksi zake hapa na kule huenda hazina mashiko sana kwa wanaonufaika. Kwa makala haya tutaangazia jinsi ambavyo bwawa hili lilianzishwa na kwa sababu zipi ama historia yake na kisha manufaa na madhara yake kwa wakaaji iwapo yapo,jina langu ni Lydia Omaya. Wanafunzi wa chuo kikuu cha Moi wakiendeshwa kwa mashua katika bwawa la Kesses. Bwawa la Kesses lilianzishwa mwaka wa elfu moja mia tisa arubaini n...
Image
                  POLITICAL UNREST.  A ll the streets in Moi university since the second week of the first semester the year 2020 have been busy not in much of academic endeavors but political pursuits. Various students from different schools have been seen moving up and down from one school to another, from door to door in the students residence to publicize their interests in whatever positions they are vying for. The aspirants have gone ahead to use means such as posters which they share online to reach many students within the shortest period of time possible, it is evident that time is running out and the voting is around the corner which is scheduled on 5th of February 2020. The campaigns are ongoing and seemingly, no aspirant is ready to lose to another. They are all on their toes to persuade comrades to support them win the elections. So go to an  extent of using money in their campaigns which really wins the attenti...
Image
            NO SURCHARGES  NO RESUMPTION               OF STUDIES. All students resuming for their studies January the year 2020 in Moi University have been asked to report with one thousand nine hundred and fifty shillings  as surcharges for vanderlizing the university property during the strike that they held last year in October. The vice chancellor Professor Kosgei asked all the students to abide by the rules outlined in the memo by filling a form showing that one will not go against the university rules. The rules not only include the  payment of the surcharges fee but also the issue of cooking in the university hostels which has greatly affected the individual students at large due to added expenditure in buying of food in restaurants that some can hardly afford. It was made clear that any student that will not pay the penalty fee which was reduced from six thousand  shillings to t...
Image
FROM THE HIGHLAND... Why   do  people call you so? Yet it's my father  and not mama who was born here, But-yes, you really deserve even a greater title, for the simple reason that you've taken care of me, You've paid homage to great and prosperous men From whom my peers and I hail. Kiabiraa. Hilly, rocky at your head and bits of your neck, But yet your feet have never ceased feeding us We've grown playing at the flat parts of your head the very head that now equally feeds our people, at least your feet are getting some rest-  but where shall our  brother's children play when time comes? Kiabiraa. I owe you more than a fortune, all I breathe is by your providence  time is coming when you'll demand payment! but before then I'll wash and oil your feet. then allow the hair on your head to grow again  However, I know the ultimate payment is my life! Motherland.                  ...