Posts

Image
LIKIZO YAFANYA WANAFUNZI KUANZA BIASHARA. Na Lydia Omaya. Serikali imelazimika kurefusha likizo ya wanafunzi haswa wale wa shule za misingi na upili hadi mwaka ujao kufuatia janga la Corona humu nchini. Vyuo vikuu huenda vitafunguliwa mwezi Septemba ikiwa vitaweza kuzingatia mwongozo utakaotolewa na serikali. Hali hii inatatanisha lakini wanafunzi hawana bidii kusalimu amri na kukaa nyumbani. Huenda jambo hili la likizo lisionekane kuwa pigo kubwa kwa wanafunzi wa chuo lakini ukweli ni kuwa wameathirika pakubwa. Wamechoshwa na nyumbani. Wengi wameanzisha biashara angalau wapate kujikimu kimaisha. Agizo la kukaa nyumbani kwa muda zaidi kutoka kwa serikali limesambaratisha ndoto za wanafunzi wengi. Kuna wale waliotarajia kupiga hatua ya masomo lakini sasa hawana budi kusubiri. Kuna wale waliokuwa karibu kutamatisha, imewalazimu kukaa nyumbani. "Hatuwezi kukaa nyumbani na kuosha mikono tu. Baadhi ya mipango yetu imeharibiwa, "dada Lydiah Mong'ina  ambaye ni mfanyabi...
Image
            SEEK TO UNDERSTAND YOUR MAN.     GOOGLE courtesy of @gettyimages  What women need to know about men; Francis of Assisi prayed,'Lord! Grant that I seek more to understand than to be understood. This kind of spirit could completely transform misunderstandings among couples. You could seek to understand your partner than to be understood always. Women desire to understand men better day by day. Although men are not alike,by knowing your boyfriend or husband better could help you understand that they are normal when they exhibit certain actions,tendencies and attitudes. Just like women have expectations and so do men. You must learn to notice those realistic expectations and respond to them accordingly. A man is not your fellow woman however best of friends you may be.You must acknowledge his masculinity. It is alright he could be lacking some of the essential Male qualities but that does not mean he becomes a lesser man....
Image
HOW TO UNDERSTAND YOUR WOMAN. GOOGLE courtesy of @gettyimages.  A woman in many instances needs to be understood in all aspects and above all she needs love. Once a man is able to understand his woman, then he is able to know how to handle her emotions and even behavior in a better and smarter way. Just like a little baby, a woman could be stubborn and too demanding. To keep her and avert heartbreaks, you ought to know how to beat her or rather treat her. Know what your woman wants, likes and dislikes. Most of the women if not all want a comfortable life at some point in life even if it would take time to be there. As a man, are you promising that kind of life? Women are special creatures who were made to be helpers of their men. With the foundation of true, your woman will always find it ideal to help you through your struggles until you both get where you want to be. Oftenly show and do what your queen likes and do away with what she dislikes, her happiness should be a ...
Image
MIRUNDIKO YA TAKA NAROK YAZUA HOFU KWA WAKAAJI. Imewalazimu wakaaji wa jijini Narok kuichukulia hali hii ya kuzungukwa na taka kawaida, kwani wametoa malalamishi yao kwa baraza la kaunti hii inayohusika na ukusanyaji wa taka bali ikawa bidii zao zimeambulia patupu. Hakuna wa kushughulika. Ni jambo la kutatanisha kwamba hata ingawa jiji hili la Narok ni lenye kazi sana,kiwango au urari wa uchafu wake umezidi ule wa maeneo ya mashinani katika kaunti hii. Kusongamana kwa watu ndio, kunachangia kuwepo kwa taka nyingi lakini pia kwa kuwajibika taka hizo zaweza kushughulikiwa kwa ufanisi ili kuzingatia usafi ambao ni muhimu zaidi ya mambo yote. Hali inayozua hofu zaidi na kuhatarisha afya ya wakaaji wa jiji na nje ya Narok ni kwamba hakuna hata angalau mapipa ambapo wanaweza tia taka zao. Hii inasababisha kusambaa kwa taka kila mahali,mitaro na hata barabara huwa mapipa yao. La kuhuzunisha pia ni kwamba hakuna atakayezoa taka hizo hapo, ni kazi ya maji ya mvua kubeba taka taka hizo h...
Image
MAHAFALI YA NANE;CHUO CHA UALIMU NAROK. Wanafunzi pamoja na waliohudhuria sherehe hii ya mahafali wakisubiri ianze katika Chuo cha Ualimu cha Narok Wanafunzi 614 wamehitimu leo hii kutoka Chuo cha Ualimu ndani ya kaunti ya Narok ikiashiria kukamilisha masomo rasmi na kujiandaa kwa ajili ya kulitumikia taifa hili. Kwa miaka mwili au mitatu kulingana na kitengo cha kila mmoja,wanafunzi hawa walipata kuingia mwituni na leo hii ni wazi kwamba baadhi yao wamepata kurejea na kuni ambazo kwa hakika zitawafaidi pakubwa katika siku zao za usoni. Wanafunzi hao wakiwa katika kanzu za mahafali walionyesha furaha na kuridhika kwa siku hii walioisubiria bila ya kujuta tangu mwaka jana walipomaliza kuudhuria masomo yao. Wanatumaini kupata kazi kwa sababu wameshakabidhiwa vyeti vyao vya kuhitimu tofauti na vyuo vingine ambapo wanafunzi huchukua vyeti vyao baadaye mbali na siku yao ya kuhitimu. Cynthia Chemtai mmoja wa waliohitimu anasema, "sina shaka nitapata kazi maanake sifa zote na uj...
Image
    CHUO KIKUU CHA MOI:  URITHI WA KUMKUMBUKA RAIS MOI. Chuo kikuu cha Moi kilianzishwa mnamo mwaka wa 1984 kutokana na pendekezo la jopokazi lililoteuliwa na Mstaafu Rais Daniel arap Moi na kuongozwa na Dkt. Mackay, msomi kutoka Nchini Canada. Jopokazi hili liliandika waraka wa pendekezo kuhusu haja ya kuwa na Chuo kikuu cha pili Nchini Kenya. Ilikuwa sehemu ya ndoto ya Rais Mstaafu Moi kuwa na taasisi za elimu ya juu zikihamishwa kutoka maeneo ya mjini na ndio maana akaanzisha chuo kikuu cha Moi katika eneo la Kesses ambalo lipo kilomita 35 kutoka mji wa Eldoret. "Taasisi hii mpya inapaswa kuanzishwa katika sehemu ya nchi mbali na mji mkuu ", inasoma ripoti ya Mackay ambayo iliweka msingi wa kuanzishwa kwake.Rais Daniel arap Moi alichangia pakubwa kwa kuimarisha Chuo Kikuu cha Moi kwa kutoa shamba hekari 3000 kwa ajili shughuli zake,kujengwa kwa Shule ya Sayansi ya Habari na hata maktaba ya kisasa ya Margaret Thatcher.    Shule ya Sayansi ya Habari. Ku...
Image
BUILDING MOI UNIVERSITY SEVENTH-DAY CHURCH. Of all churches in Moi, it is only the SDA church that shares their pulpit with the devil through Discothe’ques (famously “Kadunda”) held in the same venue.  It is a shocking story.  Only in private conversations can the deacons and deaconesses share with you the ill that they witness while cleaning up on Sabbath in preparation for the Sabbath services.  Surprisingly, this is the story that is about to be changed this 2020. “Nobody would set his / her eye twice on what we find in LT3 every Saturday morning during the cleaning before the services.  It is down-hearting and shameful”, says Paulina one of the deaconesses. The cradle of the dream started way back in 2009 according to my sources students then wanted to move out from LT3 and it has been so ever since.  “We cannot shame the same pulpit with the Devil anymore”, said Loyce Ngeta, a forth year MUSDA member taking media science. On 8th December which w...